Ibn Baaz mkopo kwa ajili ya kuchinja Udhhiyah

Swali: Ni ipi hukumu mtu akichukua mkopo ili aweze kuchinja Udhhiyah?

Jibu: Hapana vibaya wala hapana neno. Kama anaweza kulipa na yuko na sababu za kuweza kulilipa ni sawa kufanya hivo.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18856/حكم-الاستدانة-من-اجل-الاضحية
  • Imechapishwa: 06/06/2024