Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kutumia vidonge vya kuzuia mimba kwa ajili ya kuchelewesha hedhi katika mwezi wa Ramadhaan?
Jibu: Hakuna neno juu ya hilo kutokana na yale manufaa yanayopatikana kwa mwanamke katika kufunga kwake pamoja na wengine na kutolipa baadaye. Hata hivyo inatakiwa kuchunga asije kudhurika. Kwa sababu baadhi ya wanawake vidonge vinawadhuru.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/201)
- Imechapishwa: 23/05/2018
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kutumia vidonge vya kuzuia mimba kwa ajili ya kuchelewesha hedhi katika mwezi wa Ramadhaan?
Jibu: Hakuna neno juu ya hilo kutokana na yale manufaa yanayopatikana kwa mwanamke katika kufunga kwake pamoja na wengine na kutolipa baadaye. Hata hivyo inatakiwa kuchunga asije kudhurika. Kwa sababu baadhi ya wanawake vidonge vinawadhuru.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/201)
Imechapishwa: 23/05/2018
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kutumia-vidonge-vya-kuzuia-hedhi-kwa-ajili-ya-ramadhaan/