Swali: Je, mwalimu anayewafundisha watoto anapaswa kuwaamuru kutawadha?
Jibu: Ikiwa watoto wamefikia umri wa miaka saba, basi awaamrishe kutawadha. Lakini watoto walio chini ya umri wa miaka saba, mwalimu awaandikie mahitaji yao kwenye karatasi au ubao.
Swali: Afanye hivi muda wa kuwa hajawafikisha miaka ya kuwawajibikia ´ibaadah?
Jibu: Asiwaache kushika msahafu. Awaandikie nayo mahali pengine, kwa sababu wako katika mwaka wa kwanza. Miaka saba ni katika mwaka wa kwanza kama mwanafunzi.
Swali: Hata kama Qur-aan hiyo ni majuzu?
Jibu: Awaandikie nayo kwenye karatasi. Kufanya hivo ni sahali zaidi kuliko kuwapa msahafu au acheleweshe kuwafunza Qur-aan mpaka wafikishe miaka saba ili apate kuwafunza kwanza twahara.
Swali: Je, makinzano ni kuhusiana na watoto waliofikisha miaka ya kuweza kupambanua mambo au wale waliobaleghe?
Jibu: Tofauti ni kuhusu watoto waliofikisha miaka ya kuweza kupambanua mambo na waliokishabaleghe. Watoto waliofikisha miaka ya kuweza kupambanua mambo wanapaswa kufunzwa twahara na waliokwishabaleghe jambo lao linatambulika.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24746/هل-يومر-الاطفال-بالوضوء-لتعلم-القران
- Imechapishwa: 08/12/2024
Swali: Je, mwalimu anayewafundisha watoto anapaswa kuwaamuru kutawadha?
Jibu: Ikiwa watoto wamefikia umri wa miaka saba, basi awaamrishe kutawadha. Lakini watoto walio chini ya umri wa miaka saba, mwalimu awaandikie mahitaji yao kwenye karatasi au ubao.
Swali: Afanye hivi muda wa kuwa hajawafikisha miaka ya kuwawajibikia ´ibaadah?
Jibu: Asiwaache kushika msahafu. Awaandikie nayo mahali pengine, kwa sababu wako katika mwaka wa kwanza. Miaka saba ni katika mwaka wa kwanza kama mwanafunzi.
Swali: Hata kama Qur-aan hiyo ni majuzu?
Jibu: Awaandikie nayo kwenye karatasi. Kufanya hivo ni sahali zaidi kuliko kuwapa msahafu au acheleweshe kuwafunza Qur-aan mpaka wafikishe miaka saba ili apate kuwafunza kwanza twahara.
Swali: Je, makinzano ni kuhusiana na watoto waliofikisha miaka ya kuweza kupambanua mambo au wale waliobaleghe?
Jibu: Tofauti ni kuhusu watoto waliofikisha miaka ya kuweza kupambanua mambo na waliokishabaleghe. Watoto waliofikisha miaka ya kuweza kupambanua mambo wanapaswa kufunzwa twahara na waliokwishabaleghe jambo lao linatambulika.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24746/هل-يومر-الاطفال-بالوضوء-لتعلم-القران
Imechapishwa: 08/12/2024
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-watoto-wadogo-kushika-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)