Swali: Mwenye kufikiwa na vitabu vilivyopinda vya Bid´ah anapewa udhuru katika hali hii?
Jibu: Hapana, hapewi udhuru kwa hilo. Lakini anapewa udhuru kwa vitu vinavyoweza kuwa ni vyenye kufichikana kwake. Kwa mfano mambo ya wajibu ya hajj, ´Umrah, swawm na mfano wa hayo ambayo kweli yanaweza kuwa yenye kutatiza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 90
- Imechapishwa: 24/07/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)