Swali: Mwenye kufikiwa na vitabu vilivyopinda vya Bid´ah anapewa udhuru katika hali hii?
Jibu: Hapana, hapewi udhuru kwa hilo. Lakini anapewa udhuru kwa vitu vinavyoweza kuwa ni vyenye kufichikana kwake. Kwa mfano mambo ya wajibu ya hajj, ´Umrah, swawm na mfano wa hayo ambayo kweli yanaweza kuwa yenye kutatiza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 90
- Imechapishwa: 24/07/2019
Swali: Mwenye kufikiwa na vitabu vilivyopinda vya Bid´ah anapewa udhuru katika hali hii?
Jibu: Hapana, hapewi udhuru kwa hilo. Lakini anapewa udhuru kwa vitu vinavyoweza kuwa ni vyenye kufichikana kwake. Kwa mfano mambo ya wajibu ya hajj, ´Umrah, swawm na mfano wa hayo ambayo kweli yanaweza kuwa yenye kutatiza.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 90
Imechapishwa: 24/07/2019
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-ujinga-ni-udhuru-x-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket