Swali: Mtunzi (Rahimahu Allaah) amesema:
“Huenda akalisema na yeye ni mjinga, hata hivyo hapewi udhuru.”
Jibu: Kwa sababu anaishi kati ya waislamu, karibu naye yuko na Qur-aan na Sunnah. Kwa msemo mwingine huyu anachukulia wepesi.
Swali: Haya yanafasiriwa kwamba ni yule mtu ambaye ni mzembe?
Jibu: Ndio. Ni mtu mzembe ambaye anaweza kujifunza lakini hata hivyo hakujali.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 26
- Imechapishwa: 22/03/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)