Swali: Du´aa inakuwa baada ya swalah hii au mwishoni mwake?
Jibu: Baada ya swalah, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”… aswali Rak´ah mbili kisha aseme… ”
Swali: Hata kama itakuwa ni wakati uliokatazwa?
Jibu: Hapana, katika wakati ambao haukukatazwa.
Swali: Anyanyue mikono yake?
Jibu: Hakukupokelewa kitu juu ya hilo. Jamob ni lenye wasaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24305/متى-يكون-دعاء-الاستخارة-وهل-يرفع-يديه
- Imechapishwa: 28/09/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket