Swali: Ni ipi hukumu ya kubusu mkono?
Jibu: Bora ni kuacha kufanya hivo.
Swali: Yaliyofanywa kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Baadhi ya watu waliweza kufanya hivo kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Baadhi ya maimamu wametilia hilo mkazo. Hata hivyo bora ni kuacha kufanya hivo. Baadhi ya wanazuoni wanaita kuwa ni aina ndogo ya sujudu. Kwa hiyo bora ni kuacha hivo. Haitakiwi kutilia mkazo wala kuchukulia wepesi. Bora ni kuacha kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24578/ما-حكم-تقبيل-اليد
- Imechapishwa: 03/11/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)