Swali: Ni ipi hukumu ya wale ambao hawajafikiwa na ulinganizi mpaka hii leo?
Jibu: Hawa sio waislamu na wala sio makafiri. Jambo lao liko kwa Allaah. Wanaingia katika Ahl-ul-Fatrah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 130
- Imechapishwa: 23/01/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya wale ambao hawajafikiwa na ulinganizi mpaka hii leo?
Jibu: Hawa sio waislamu na wala sio makafiri. Jambo lao liko kwa Allaah. Wanaingia katika Ahl-ul-Fatrah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 130
Imechapishwa: 23/01/2017
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-makafiri-ambao-hawajafikiwa-na-dawah-leo/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket