Swali 313: Je, ni jambo limesuniwa kukata masharubu ya maiti au kucha zake?
Jibu: Ni jambo lenye wasaa. Hili limetajwa na kikosi cha wanazuoni. Ama kukata sehemu za siri au kwapani hapana, kwa sababu ni jambo la taabu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 111
- Imechapishwa: 24/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 313: Je, ni jambo limesuniwa kukata masharubu ya maiti au kucha zake?
Jibu: Ni jambo lenye wasaa. Hili limetajwa na kikosi cha wanazuoni. Ama kukata sehemu za siri au kwapani hapana, kwa sababu ni jambo la taabu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 111
Imechapishwa: 24/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kukata-masharubu-na-kucha-za-maiti/