Ibn Baaz kuhusu kugusu tupu ya mtoto wakati wa kumtamba II

Swali: Vipi wudhuu´ wa mama anayemtamba mtoto wake kwa mfano wa miaka sita?

Jibu: Atawadhe akigusa [tupu yake], kwa sababu Hadiyth inasema:

“Yule mwenye kugusa dhakari… “

 Swali: Hata kama ni mdogo?

Jibu: Haijalishi.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24744/حكم-طهارة-الام-اذا-مست-فرج-ولدها-الصغير
  • Imechapishwa: 05/12/2024