Swali: Vipi kuhusu mtu mwenye kusema kwamba katazo la kufunga jumamosi linahusu kuifunga peke yake?
Jibu: Hapana, Hadiyth inasema:
”… isipokuwa katika yale mliyofaradhishiwa.”
Ingawa ni Hadiyth dhaifu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 127
- Imechapishwa: 04/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali: Vipi kuhusu mtu mwenye kusema kwamba katazo la kufunga jumamosi linahusu kuifunga peke yake?
Jibu: Hapana, Hadiyth inasema:
”… isipokuwa katika yale mliyofaradhishiwa.”
Ingawa ni Hadiyth dhaifu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 127
Imechapishwa: 04/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kufunga-jumamosi-peke-yake/