Swali: Ni ipi hukumu ya kubusu msahafu?
Jibu: Hakuna ubaya wowote. ´Ikrimah bin Abiy Jahl, ambaye ni Swahabah, alikuwa akiubusu msahafu. Hata hivyo jambo hilo si lenye kupendeza, kwani halina dalili. Lakini ni sawa ikifanywa kwa nia ya kuitukuza na kuiheshimu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31177/ما-حكم-تقبيل-المصحف
- Imechapishwa: 10/10/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya kubusu msahafu?
Jibu: Hakuna ubaya wowote. ´Ikrimah bin Abiy Jahl, ambaye ni Swahabah, alikuwa akiubusu msahafu. Hata hivyo jambo hilo si lenye kupendeza, kwani halina dalili. Lakini ni sawa ikifanywa kwa nia ya kuitukuza na kuiheshimu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31177/ما-حكم-تقبيل-المصحف
Imechapishwa: 10/10/2025
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kubusu-msahafu/