Swali: Je, ni sahihi yale yaliyopokelewa kutoka kwa Imaam Ahmad ya kwamba anaona kufaa kufanya Tawassul kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pekee?
Jibu: Anaona hivo. Lakini kilichotangaa kutoka kwake na kutoka kwa wengine ni makatazo. Wanachuoni wengi wanaona kutofaa. Haijalishi kitu hata kama Imaam Ahmad au mwengine anaona kufaa. Hili ni kosa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 40
- Imechapishwa: 15/06/2019
Swali: Je, ni sahihi yale yaliyopokelewa kutoka kwa Imaam Ahmad ya kwamba anaona kufaa kufanya Tawassul kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pekee?
Jibu: Anaona hivo. Lakini kilichotangaa kutoka kwake na kutoka kwa wengine ni makatazo. Wanachuoni wengi wanaona kutofaa. Haijalishi kitu hata kama Imaam Ahmad au mwengine anaona kufaa. Hili ni kosa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 40
Imechapishwa: 15/06/2019
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-imaam-ahmad-kuona-kufaa-kufanya-tawassul-kwa-mtume/