Vipeperushi hivi vinavyotoka kwa al-Faqiyh, al-Mas´ariy au mtu mwengine katika walinganiaji wa batili na walinganiaji wa shari, ni lazima kuviharibu, kuvichana na kuvipuuza. Ni lazima kwa yule mwenye kuweza awanasihi, kuwaongoza katika haki na kuwatahadharisha na batili. Haijuzu kwa yeyote kushirikiana nao katika shari hii. Ni lazima wanasihiwe na warudi katika haki. Ni wajibu kwao kuachana na batili hii. Nasaha yangu kwa al-Mas´ariy, al-Faqiyh, Ibn Laadin na wengine wote wanaopita katika mfumo wao, wajiweke mbali na njia hii mbaya na badala yake wamche Allaah kwa yale waliyofanya hapo kabla.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=7bDJjr7dAVs
- Imechapishwa: 09/04/2020
Vipeperushi hivi vinavyotoka kwa al-Faqiyh, al-Mas´ariy au mtu mwengine katika walinganiaji wa batili na walinganiaji wa shari, ni lazima kuviharibu, kuvichana na kuvipuuza. Ni lazima kwa yule mwenye kuweza awanasihi, kuwaongoza katika haki na kuwatahadharisha na batili. Haijuzu kwa yeyote kushirikiana nao katika shari hii. Ni lazima wanasihiwe na warudi katika haki. Ni wajibu kwao kuachana na batili hii. Nasaha yangu kwa al-Mas´ariy, al-Faqiyh, Ibn Laadin na wengine wote wanaopita katika mfumo wao, wajiweke mbali na njia hii mbaya na badala yake wamche Allaah kwa yale waliyofanya hapo kabla.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=7bDJjr7dAVs
Imechapishwa: 09/04/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-ibn-laadin-al-faqiyh-och-al-masariy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)