Ibn Baaz kuhusu Hadiyth za kushuka kwa Allaah usiku wa nusu Sha´baan

Swali: Baadhi ya wakaguzi waliokuja nyuma wamekusanya njia za Hadiyth zinazosema kuwa Allaah hushuka usiku wa nusu Sha´baan na wakasema kuwa ni Swahiyh.

Ibn Baaz: Ni Shaykh gani?

Muulizaji: Shaykh Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy.

Jibu: Mtu arejelee. Kutokana na ninavojua sio Swahiyh. Nilifuatilia hilo zamani na nikaona si Swahiyh. Anaweza kukosea katika baadhi ya mambo na baadhi ya Hadiyth.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Ta´liyqaat ´alaal-Fatwaa al-Hamawiyyah al-Kubraa, uk. 144
  • Imechapishwa: 16/02/2023