Swali: Kuhusu kumtaja Allaah katika vyoo na sehemu za kujisitiri – je, inakuwa kwa moyo au kwa maneno?
Jibu: Ni kwa moyo.
Swali: Je, kwa maneno ni inachukiza au ni haramu?
Jibu: Inachukiza machukizo ya kujitakasa.
Swali: Vipi kuhusu kutaja jina la Allaah wakati wa wudhuu´?
Jibu: Ikiwa kuna haja ya kufanya wudhuu´ ndani ya choo, ataje jina la Allaah kwa sababu kutaja jina ni wajibu. Asiiache kwa sababu ya machukizo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31171/حكم-الذكر-والبسملة-في-الوضوء-عند-الخلاء
- Imechapishwa: 10/10/2025
Swali: Kuhusu kumtaja Allaah katika vyoo na sehemu za kujisitiri – je, inakuwa kwa moyo au kwa maneno?
Jibu: Ni kwa moyo.
Swali: Je, kwa maneno ni inachukiza au ni haramu?
Jibu: Inachukiza machukizo ya kujitakasa.
Swali: Vipi kuhusu kutaja jina la Allaah wakati wa wudhuu´?
Jibu: Ikiwa kuna haja ya kufanya wudhuu´ ndani ya choo, ataje jina la Allaah kwa sababu kutaja jina ni wajibu. Asiiache kwa sababu ya machukizo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31171/حكم-الذكر-والبسملة-في-الوضوء-عند-الخلاء
Imechapishwa: 10/10/2025
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-basmalah-chooni-kabla-ya-kutawadha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
