Swali 1374: Ni ipi hukumu ya kusikiliza redio na mfano wake ikiwa kile kinachosikilizwa au kutazamwa ni kitu cha haramu?
Jibu: Hakuna neno kusikiliza kile kinachorushwa katika redio kutoka kwenye redio, Hadiyth zenye manufaa au taarifa ya khabari muhimu. Vivyo hivyo yale yanayorekodiwa katika Qur-aan, Hadiyth zenye manufaa na mengineyo. Napendekeza watu watilie umuhimu kusikiliza idhaa ya Qur-aan na barnamiji ya Nuur ´alaad-Darb kwa sababu ya ile faida kubwa inayopatikana ndani yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 561
- Imechapishwa: 16/08/2019
Swali 1374: Ni ipi hukumu ya kusikiliza redio na mfano wake ikiwa kile kinachosikilizwa au kutazamwa ni kitu cha haramu?
Jibu: Hakuna neno kusikiliza kile kinachorushwa katika redio kutoka kwenye redio, Hadiyth zenye manufaa au taarifa ya khabari muhimu. Vivyo hivyo yale yanayorekodiwa katika Qur-aan, Hadiyth zenye manufaa na mengineyo. Napendekeza watu watilie umuhimu kusikiliza idhaa ya Qur-aan na barnamiji ya Nuur ´alaad-Darb kwa sababu ya ile faida kubwa inayopatikana ndani yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 561
Imechapishwa: 16/08/2019
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-barnamiji-nuur-alaad-darb/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)