Swali 73: Ni ipi hukumu ya mtu anayemtukana Abu Bakr na ´Umar?

Jibu: Kilicho karibu zaidi kwangu ni kwamba ni kafiri, kwa sababu Allaah amewaridhia. Vivyo hivyo makhaliyfah wengine waongofu.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 48
  • Imechapishwa: 15/08/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´