808 – Nilimuuliza Shaykh wetu kwamba baadhi ya watu wanasema kuwa wewe ulitamani kuwaona ngamia kwa sababu Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
أَفَلَا يَنظُرُونَ إِلَى الْإِبِلِ كَيْفَ خُلِقَتْ
“Je, hawamtazami ngamia namna walivyoumbwa?”[1]
Jibu: Watu wa kawaida hawana hoja. Mimi sikupoteza uwezo wa kuona isipokuwa nilipokuwa na umri wa miaka kumi na tisa na tayari nilikuwa nimewaona ngamia.
[1]88:17
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 291
- Imechapishwa: 17/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
808 – Nilimuuliza Shaykh wetu kwamba baadhi ya watu wanasema kuwa wewe ulitamani kuwaona ngamia kwa sababu Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
أَفَلَا يَنظُرُونَ إِلَى الْإِبِلِ كَيْفَ خُلِقَتْ
“Je, hawamtazami ngamia namna walivyoumbwa?”[1]
Jibu: Watu wa kawaida hawana hoja. Mimi sikupoteza uwezo wa kuona isipokuwa nilipokuwa na umri wa miaka kumi na tisa na tayari nilikuwa nimewaona ngamia.
[1]88:17
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 291
Imechapishwa: 17/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-akitamani-kuona-ngamia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
