Ibn Baaz akijibu maswali kadhaa kuhusu uvaaji wa pete

Swali 613: Je, kuvaa pete ni Sunnah?

Jibu: Allaah ndiye mjuzi zaidi.

Swali 614: Je, ni Sunnah kuvaa pete ya fedha?

Jibu: Dhahiri ni kwamba hilo ni katika mambo ya kawaida.

Swali 615: Je, kuvaa pete ya fedha huitwa kuwa ni Sunnah?

Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliivaa kwa ajili ya haja.

Swali 616: Vipi kuhusu mwanaume kuvaa saa ya fedha?

Jibu: Bora ni kuacha kufanya hivo.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 220
  • Imechapishwa: 13/06/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´