Swali: Akimweleza mtumzima ambaye kishaolewa na akanyamaza?
Jibu: Haitoshi. Ni lazima kupata idhini yake wazi isipokuwa msichana bikira. Msichana bikira anastahi na hivyo inatosha akinyamaza. Hata hivyo mwanamke mtumzima ni lazima kumtaka ushauri.
Swali: Je, ndoa ifungwe upya akiridhia baada ya kufungwa ndoa?
Jibu: Ndio, ifungwe upya.
Swali: Akimjamii ilihali ni mwenye kuchukia?
Jibu: Ndoa ifutwe. Baadaye akirdhia ifungwe upya. Hapo ni pale ambapo ataridhia baada ya hapo.
Swali: Mahari atapewa mengine au yatatosha yale mahari aliyopewa mara ya kwanza?
Jibu: Mahari ya kwanza ni kwa kile alichohalalishiwa katika tupu yake mke. Kwa hivyo ni lazima kutolewe mahari mengine ijapo ni kidogo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23842/هل-يصح-سكوت-غير-البكر-للاذن-بالنكاح
- Imechapishwa: 18/05/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)