Swali: Je, ni sahihi watu wa Najd na Hijaaz wanamtukuza Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) zaidi kuliko maimamu wanne na wengine?
Jibu: Ni nani aliyesema hivi? Yeye ni mwenye kuwafuata maimamu wanne. Yeye ni miongoni mwa wafuasi wa wale maimamu wanne, anawasifu, anawaombea du´aa na anafata mwongozo wao. Yeye si bora kuliko wale maimamu wanne.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ad-Durr an-Nadhwiyd (01)
- Imechapishwa: 05/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)