Swali: Je, ni sahihi watu wa Najd na Hijaaz wanamtukuza Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) zaidi kuliko maimamu wanne na wengine?
Jibu: Ni nani aliyesema hivi? Yeye ni mwenye kuwafuata maimamu wanne. Yeye ni miongoni mwa wafuasi wa wale maimamu wanne, anawasifu, anawaombea du´aa na anafata mwongozo wao. Yeye si bora kuliko wale maimamu wanne.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ad-Durr an-Nadhwiyd (01)
- Imechapishwa: 05/03/2025
Swali: Je, ni sahihi watu wa Najd na Hijaaz wanamtukuza Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) zaidi kuliko maimamu wanne na wengine?
Jibu: Ni nani aliyesema hivi? Yeye ni mwenye kuwafuata maimamu wanne. Yeye ni miongoni mwa wafuasi wa wale maimamu wanne, anawasifu, anawaombea du´aa na anafata mwongozo wao. Yeye si bora kuliko wale maimamu wanne.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ad-Durr an-Nadhwiyd (01)
Imechapishwa: 05/03/2025
https://firqatunnajia.com/ibn-abdil-wahhaab-au-maimamu-wanne/