Wanachuoni na watafiti wameafikiana, tangu hapo kale mpaka hii leo, ya kwamba Ibaadhiyyah ni inapokuja katika misingi yake ya ´Aqiydah ni tawi linalotokamana na Khawaarij. Wanaafikiana katika misingi yao mingi waliyotoka nayo Khawaarij kutoka katika Ummah. Tofauti yao iliyojitokeza ni katika msimamo wao kati ya waislamu wengine, hukumu ya kuishi nao, lini inafaa kuwapiga vita na hukumu zao katika hali ya usalama na vita[1].
[1] Kwa mfano tu tazama ”Maqaalaat al-Islaamiyyiyn” (01/183) cha Abul-Hasan al-Ash´ariy, ”al-Firaq bayn al-Firaq”, uk. 103 na ”al-Milal wan-Nihal” (01/133).
- Muhusika: ´Abdullaah as-Salafiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ibaadhwiyyah fiy miyzaan Ahl-is-Sunnah, uk. 07
- Imechapishwa: 28/01/2017
Wanachuoni na watafiti wameafikiana, tangu hapo kale mpaka hii leo, ya kwamba Ibaadhiyyah ni inapokuja katika misingi yake ya ´Aqiydah ni tawi linalotokamana na Khawaarij. Wanaafikiana katika misingi yao mingi waliyotoka nayo Khawaarij kutoka katika Ummah. Tofauti yao iliyojitokeza ni katika msimamo wao kati ya waislamu wengine, hukumu ya kuishi nao, lini inafaa kuwapiga vita na hukumu zao katika hali ya usalama na vita[1].
[1] Kwa mfano tu tazama ”Maqaalaat al-Islaamiyyiyn” (01/183) cha Abul-Hasan al-Ash´ariy, ”al-Firaq bayn al-Firaq”, uk. 103 na ”al-Milal wan-Nihal” (01/133).
Muhusika: ´Abdullaah as-Salafiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ibaadhwiyyah fiy miyzaan Ahl-is-Sunnah, uk. 07
Imechapishwa: 28/01/2017
https://firqatunnajia.com/ibaadhiyyah-ni-katika-mapote-ya-khawaarij/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket