Ikiwa mwandishi, al-Khaliyliy, anasema kuwa kipote chake ndicho Ahl-ul-Haqq wal-Istiqaamah na kwamba hawakuchukua ´Aqiydah yao isipokuwa kutoka katika Qur-aan na Sunnah, tunamwambia yafuatayo:
Haki na msimamo ni kuchukua yale yaliyokuja kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na si kuyarudisha kwa kufuata matamanio, upotoshaji wa kukusudia na kutangulia mbele ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ar-Radd al-Qawiym, uk. 92
- Imechapishwa: 14/01/2017
Ikiwa mwandishi, al-Khaliyliy, anasema kuwa kipote chake ndicho Ahl-ul-Haqq wal-Istiqaamah na kwamba hawakuchukua ´Aqiydah yao isipokuwa kutoka katika Qur-aan na Sunnah, tunamwambia yafuatayo:
Haki na msimamo ni kuchukua yale yaliyokuja kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na si kuyarudisha kwa kufuata matamanio, upotoshaji wa kukusudia na kutangulia mbele ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ar-Radd al-Qawiym, uk. 92
Imechapishwa: 14/01/2017
https://firqatunnajia.com/ibaadhiyyah-ahl-ul-haqq-wal-istiqaamah/