Ikiwa mwandishi, al-Khaliyliy, anasema kuwa kipote chake ndicho Ahl-ul-Haqq wal-Istiqaamah na kwamba hawakuchukua ´Aqiydah yao isipokuwa kutoka katika Qur-aan na Sunnah, tunamwambia yafuatayo:
Haki na msimamo ni kuchukua yale yaliyokuja kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na si kuyarudisha kwa kufuata matamanio, upotoshaji wa kukusudia na kutangulia mbele ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ar-Radd al-Qawiym, uk. 92
- Imechapishwa: 14/01/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket