Swali: Kuna wanaosema wale wenye kusema Dhikr kwa sauti baada ya Swalah ya kwamba wanapata dhambi. Ni upi usahihi wa maneno yao haya?
Jibu: Huyu ndiye mwenye dhambi kwa kuwa anapinga Sunnah. Kusema Adhkaar kwa sauti baada ya Swalah ndio Sunnah iliyothibiti kwa Maswahabah pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na aliwakubalia hilo (´alayhis-Swalaatu was-Salaam). Mwenye kusema kuwa wanapata dhambi yeye ndiye mwenye kupata dhambi kwa kupinga kwake Sunnah.
Ni wajibu kwa mtu ahifadhi ulimi wake kwa kuzungumza asiyoyajua.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_13.mp3
- Imechapishwa: 15/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)