Swali: Ni lipi la wajibu kwetu kwa mtu ambaye anatoa fatwa ya kujuzu mchanganyiko na kadhalika anasema kuwa swalah ya jamaa´ah sio wajibu?
Jibu: Mpige Radd, mkataze aliyoyasema na mbainishie dalili juu ya upotevu wa maneno yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
- Imechapishwa: 16/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)