Kuanzia hapa Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:

“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuwa na subira juu ya watawala na kuamrisha kuwaua Ahl-ul-Bid´ah.”[1]

Kwa kuwa Ahl-ul-Bid´ah wanaiharibu Dini na mara nyingi watawala wanaharibu dunia ya watu. Tofauti na watu hawa wanaharibu Dini yao, ´Aqiydah zao, akili zao na mabalaa na shari zao ni khatari sana. Huu ndio ufahamu katika dini ya Allaah.

[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (28/470-471)

  • Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: adh-Dhariy´ah ilaa Bayaan Maqaasid Kitaab-ish-Sharï´ah (1/126)
  • Imechapishwa: 19/05/2015