Swali: Ipi hukumu kwa mwanaume ambaye ni Muislamu kumpa mke wake Talaka kwa kuandika jina la mwanaume mwingine naye (mke huyo) yuko katika dhimma yake ili wapewe pesa kutoka serikali?’
Jibu: Ni kama tulivyotangulia kusema[1], yote haya ni maovu na ni mali ya Haramu.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/mwanamke-anadanganya-serikali-ili-apewe-pesa-zaidi/
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 01/04/2018
Swali: Ipi hukumu kwa mwanaume ambaye ni Muislamu kumpa mke wake Talaka kwa kuandika jina la mwanaume mwingine naye (mke huyo) yuko katika dhimma yake ili wapewe pesa kutoka serikali?’
Jibu: Ni kama tulivyotangulia kusema[1], yote haya ni maovu na ni mali ya Haramu.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/mwanamke-anadanganya-serikali-ili-apewe-pesa-zaidi/
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 01/04/2018
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-pesa-ambazo-mume-na-mke-wamedanganya-serikali-kuwa-wameachana/