Swali: Akiapa huku akiwa na dhana kubwa ya kuwa jambo fulani limetokea, lakini halijatokea. Je, atalazimika kutoa kafara?
Ibn Baaz: Kwa maana ya kwamba ameapa kwamba jambo hilo limetokea?
Muulizaji: Ameapa kwamba jambo fulani limetokea, lakini halijatokea.
Ibn Baaz: Amesahau?
Mwanafunzi: Dhana kubwa imempelekea kufanya hivo.
Ibn Baaz: Naapa kwamba fulani amekuja, naapa kwamba fulani amefika na naapa kwamba mwezi umeshaingia. Akifikiri hivo?
Mwanafunzi: Ndiyo.
Jibu: Sahihi ni kwamba hakuna juu yake kafara, kwa sababu anajiona ni mwenye kusema ukweli.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28966/حكم-من-حلف-على-شيء-بغلبة-ظنه
- Imechapishwa: 14/05/2025
Swali: Akiapa huku akiwa na dhana kubwa ya kuwa jambo fulani limetokea, lakini halijatokea. Je, atalazimika kutoa kafara?
Ibn Baaz: Kwa maana ya kwamba ameapa kwamba jambo hilo limetokea?
Muulizaji: Ameapa kwamba jambo fulani limetokea, lakini halijatokea.
Ibn Baaz: Amesahau?
Mwanafunzi: Dhana kubwa imempelekea kufanya hivo.
Ibn Baaz: Naapa kwamba fulani amekuja, naapa kwamba fulani amefika na naapa kwamba mwezi umeshaingia. Akifikiri hivo?
Mwanafunzi: Ndiyo.
Jibu: Sahihi ni kwamba hakuna juu yake kafara, kwa sababu anajiona ni mwenye kusema ukweli.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28966/حكم-من-حلف-على-شيء-بغلبة-ظنه
Imechapishwa: 14/05/2025
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-anayeapa-vile-inavyompelekea-dhana-yake-kubwa/