Homa na maradhi mengine yanafuta madhambi

Swali: Hadiyth isemayo:

“Homa ni fungu la muumini kutokana na Moto.”

Jibu: Sikumbuki kitu juu yake. Kwa hali yoyote ni miongoni mwa sababu za kufutwa makosa. Homa ni miongoni mwa sababu za kufutwa makosa kama yalivyo maradhi mengine.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22705/ما-صحة-ان-الحمى-حظ-المومن-من-النار
  • Imechapishwa: 03/08/2023