Swali: Washirikina wengi na wanazuoni wao wanajengea hoja juu ya suala la kuwepo kaburi la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndani ya msikiti.
Jibu: Wabainishiwe ya kwamba yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yuko nyumbani kwake na si msikitini. Hoja yao ni mbovu. Wamebainishiwe ya kwamba ni kosa. Vinginevyo ni hoja kwa wenye elimu finyu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24584/رد-شبهة-وجود-قبر-الرسول-ﷺ-في-المسجد
- Imechapishwa: 07/11/2024
Swali: Washirikina wengi na wanazuoni wao wanajengea hoja juu ya suala la kuwepo kaburi la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndani ya msikiti.
Jibu: Wabainishiwe ya kwamba yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yuko nyumbani kwake na si msikitini. Hoja yao ni mbovu. Wamebainishiwe ya kwamba ni kosa. Vinginevyo ni hoja kwa wenye elimu finyu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24584/رد-شبهة-وجود-قبر-الرسول-ﷺ-في-المسجد
Imechapishwa: 07/11/2024
https://firqatunnajia.com/hoja-kwa-wachache-wa-elimu/