Swali: Je, kuna aina ya Tawhiyd inayoitwa Tawhiyd-ul-Haakimiyyah au inaingia katika aina tatu za Tawhiyd?
Jibu: Hii imezushwa na Hizbiyyuun leo. Bali wanasema kuwa ndio maana ya laa ilaaha illa Allaah. Kana kwamba laa ilaaha illa Allaah haina maana nyingine isipokuwa hii. Hawataji ´ibaadah na mengineyo!
al-Haakimiyyah inaingia katika Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah. Hakuna kifungu cha al-Haakimiyyah. Ni lazima kuithibitisha Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah kwa aina zake zote. Ama kuchukua tu al-Haakimiyyah na kuacha vipengele vingine, si sawa. Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah ndani yake mna ´ibaadah zote na moja wapo ni hukumu kati ya watu na maneno. Hii ni haki ya Allaah (´Azza wa Jalla).
إِنِ الْحُكْمُ إِلَّا لِلَّـهِ
“Hakuna hukumu isipokuwa ya Allaah Pekee.” (06:57)
al-Haakimiyyah ni aina miongoni mwa aina ya Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_02.mp3
- Imechapishwa: 03/07/2018
Swali: Je, kuna aina ya Tawhiyd inayoitwa Tawhiyd-ul-Haakimiyyah au inaingia katika aina tatu za Tawhiyd?
Jibu: Hii imezushwa na Hizbiyyuun leo. Bali wanasema kuwa ndio maana ya laa ilaaha illa Allaah. Kana kwamba laa ilaaha illa Allaah haina maana nyingine isipokuwa hii. Hawataji ´ibaadah na mengineyo!
al-Haakimiyyah inaingia katika Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah. Hakuna kifungu cha al-Haakimiyyah. Ni lazima kuithibitisha Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah kwa aina zake zote. Ama kuchukua tu al-Haakimiyyah na kuacha vipengele vingine, si sawa. Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah ndani yake mna ´ibaadah zote na moja wapo ni hukumu kati ya watu na maneno. Hii ni haki ya Allaah (´Azza wa Jalla).
إِنِ الْحُكْمُ إِلَّا لِلَّـهِ
“Hakuna hukumu isipokuwa ya Allaah Pekee.” (06:57)
al-Haakimiyyah ni aina miongoni mwa aina ya Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_02.mp3
Imechapishwa: 03/07/2018
https://firqatunnajia.com/hizbiyyuun-na-tawhiyd-ul-haakimiyyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)