Swali: Ni ipi njia iliyowekwa katika Shari´ah ya kupangusa juu ya soksi?
Jibu: Ni kama kupangusa juu ya soksi za ngozi; ailowe mikono yake kwa maji kisha aweke vidole vya mkono wa kulia juu ya mguu wa kulia na vidole vya mkono wa kushoto juu ya mguu wa kushoto. Halafu avivute mpaka kwenye fundo za mguu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
- Imechapishwa: 14/10/2016
Swali: Ni ipi njia iliyowekwa katika Shari´ah ya kupangusa juu ya soksi?
Jibu: Ni kama kupangusa juu ya soksi za ngozi; ailowe mikono yake kwa maji kisha aweke vidole vya mkono wa kulia juu ya mguu wa kulia na vidole vya mkono wa kushoto juu ya mguu wa kushoto. Halafu avivute mpaka kwenye fundo za mguu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
Imechapishwa: 14/10/2016
https://firqatunnajia.com/hivi-ndivyo-zinapanguswa-soksi/