Kwa yule ambaye amebainikiwa kukosea kwa kiongozi katika baadhi ya mambo anatakiwa kumnasihi. Hata hivyo asimkaripie mbele za watu. Bali kama ilivyopokelewa katika Hadiyth amshike mkono wake na akae naye chemba na ampe nasaha na asimdhalilishe mtawala wa Allaah.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin ´Aliy ash-Shawkaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hujj al-Qawiyyah ´alaa Wujuub-id-Difaa´ ´an-id-Dawlah as-Su´uudiyyah, uk. 43
- Imechapishwa: 31/03/2024
Kwa yule ambaye amebainikiwa kukosea kwa kiongozi katika baadhi ya mambo anatakiwa kumnasihi. Hata hivyo asimkaripie mbele za watu. Bali kama ilivyopokelewa katika Hadiyth amshike mkono wake na akae naye chemba na ampe nasaha na asimdhalilishe mtawala wa Allaah.
Mhusika: Imaam Muhammad bin ´Aliy ash-Shawkaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hujj al-Qawiyyah ´alaa Wujuub-id-Difaa´ ´an-id-Dawlah as-Su´uudiyyah, uk. 43
Imechapishwa: 31/03/2024
https://firqatunnajia.com/hivi-ndivo-anavyotakiwa-kunasihiwa-mtawala/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)