Swali: Je, ni shirki ikiwa hirizi imeandikwa kitu katika Qur-aan?

Jibu: Haijalishi kitu. Sahihi ni kwamba asitundike hata kama ni katika Qur-aan.

Swali: Ni katika shirki?

Jibu: Sahihi ni kwamba ni katika shirki. Baadhi ya wanazuoni wa Salaf wameona kufaa ikiwa ni katika Qur-aan. Lakini Hadiyth zinazokataza ni zenye kuenea na kunaingia za Qur-aan na nyenginezo. Zinajumuisha hirizi zote.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24516/هل-تجوز-التميمة-من-القران
  • Imechapishwa: 24/10/2024