Swali: Kuna mtu siku zote kichwa chamuuma. Akaenda kwa tabibu ambaye alimpa kipande cha kitambaa kilichoshonwa na akamwambia akiweke chini ya kichwa chake wakati wa kulala. Pindi alipomuuliza kina nini, akamwambia kuwa kina Aayah za Qur-aan na du´aa za kinabii. Imewekwa katika Shari´ah kukitumia?
Jibu: Hapana. Hii ni hirizi. Kabla ya kwenda kulala asome Qur-aan na Suurah “al-Ikhlaasw”, “al-Falaq” na “an-Naas” na Aayah al-Kursiy. Haya ndio yenye kumnufaisha. Kuweka hirizi karibu na kichwa chake haijuzu na wala haimnufaishi kitu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (36) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majd%20-%2030%20-%2012%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 01/10/2020
Swali: Kuna mtu siku zote kichwa chamuuma. Akaenda kwa tabibu ambaye alimpa kipande cha kitambaa kilichoshonwa na akamwambia akiweke chini ya kichwa chake wakati wa kulala. Pindi alipomuuliza kina nini, akamwambia kuwa kina Aayah za Qur-aan na du´aa za kinabii. Imewekwa katika Shari´ah kukitumia?
Jibu: Hapana. Hii ni hirizi. Kabla ya kwenda kulala asome Qur-aan na Suurah “al-Ikhlaasw”, “al-Falaq” na “an-Naas” na Aayah al-Kursiy. Haya ndio yenye kumnufaisha. Kuweka hirizi karibu na kichwa chake haijuzu na wala haimnufaishi kitu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (36) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majd%20-%2030%20-%2012%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 01/10/2020
https://firqatunnajia.com/hirizi-karibu-na-kichwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)