Swali: Ni ipi hukumu ya kuchelewa kazini na kutoka sehemu ya kazi kabla ya wakati? Ni ipi hukumu ya kuchukua likizo kazini bila ya kuwatambulisha?
Jibu: Yote haya uliyotaja hayajuzu. Wewe mwenyewe hauko radhi wachukue pesa hata moja kutoka kwenye mshahara wako. Tumia kile unachotumia juu na chini kwenye kila kitu. Vipi utatumia kazi vibaya na wakati wa kazi? Haijuzu. Ni wajibu wako.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 02/06/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket