Swali: Ni ipi hukumu ya kuhajiri kwenda katika miji ya Ulaya?
Jibu: Kuhajiri inakuwa kutoka katika nchi ya kikafiri kwenda katika nchi ya Kiislamu. Hii ndio Hijrah iliowekwa katika Shari´ah. Mtu anafanya hivo kwa ajili ya kuisalimisha dini. Ni kutoka katika nchi ya shirki na kufuru na kwenda katika nchi ya Kiislamu na Tawhiyd. Hii ndio Hijrah iliowekwa katika Shari´ah. Mtu anafanya hivo kwa ajili ya kuisalimisha dini.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
- Imechapishwa: 24/02/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuhajiri kwenda katika miji ya Ulaya?
Jibu: Kuhajiri inakuwa kutoka katika nchi ya kikafiri kwenda katika nchi ya Kiislamu. Hii ndio Hijrah iliowekwa katika Shari´ah. Mtu anafanya hivo kwa ajili ya kuisalimisha dini. Ni kutoka katika nchi ya shirki na kufuru na kwenda katika nchi ya Kiislamu na Tawhiyd. Hii ndio Hijrah iliowekwa katika Shari´ah. Mtu anafanya hivo kwa ajili ya kuisalimisha dini.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
Imechapishwa: 24/02/2018
https://firqatunnajia.com/hijrah-kwenda-katika-nchi-za-ulaya/