Swali: Ni ipi hekima mswaliji anapomaliza kuswali na akataka kuswali Sunnah anabadilisha pahali pale na kwenda mahali pengine ambapo hakuswali faradhi?
Jibu: Haikuthibiti kuhusu kubadilisha mahali Hadiyth Swahiyh kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutokana na ninavojua. Kumepokelewa juu ya hilo baadhi ya Hadiyth dhaifu.
Baadhi ya wanazuoni wamesema kuwa hekima ya hilo – endapo tutasema kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah – ni kutoa ushuhuda wa maeneo ambayo ameswalia. Allaah ndiye anajua zaidi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/379)
- Imechapishwa: 10/11/2021
Swali: Ni ipi hekima mswaliji anapomaliza kuswali na akataka kuswali Sunnah anabadilisha pahali pale na kwenda mahali pengine ambapo hakuswali faradhi?
Jibu: Haikuthibiti kuhusu kubadilisha mahali Hadiyth Swahiyh kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutokana na ninavojua. Kumepokelewa juu ya hilo baadhi ya Hadiyth dhaifu.
Baadhi ya wanazuoni wamesema kuwa hekima ya hilo – endapo tutasema kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah – ni kutoa ushuhuda wa maeneo ambayo ameswalia. Allaah ndiye anajua zaidi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/379)
Imechapishwa: 10/11/2021
https://firqatunnajia.com/hekima-ya-kubadilisha-mahali-pa-sunnah-baada-ya-kuswali-faradhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)