Swali: Ni ipi hekima mswaliji anapomaliza kuswali na akataka kuswali Sunnah anabadilisha pahali pale na kwenda mahali pengine ambapo hakuswali faradhi?
Jibu: Haikuthibiti kuhusu kubadilisha mahali Hadiyth Swahiyh kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutokana na ninavojua. Kumepokelewa juu ya hilo baadhi ya Hadiyth dhaifu.
Baadhi ya wanazuoni wamesema kuwa hekima ya hilo – endapo tutasema kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah – ni kutoa ushuhuda wa maeneo ambayo ameswalia. Allaah ndiye anajua zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/379)
- Imechapishwa: 10/11/2021
Swali: Ni ipi hekima mswaliji anapomaliza kuswali na akataka kuswali Sunnah anabadilisha pahali pale na kwenda mahali pengine ambapo hakuswali faradhi?
Jibu: Haikuthibiti kuhusu kubadilisha mahali Hadiyth Swahiyh kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutokana na ninavojua. Kumepokelewa juu ya hilo baadhi ya Hadiyth dhaifu.
Baadhi ya wanazuoni wamesema kuwa hekima ya hilo – endapo tutasema kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah – ni kutoa ushuhuda wa maeneo ambayo ameswalia. Allaah ndiye anajua zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/379)
Imechapishwa: 10/11/2021
https://firqatunnajia.com/hekima-ya-kubadilisha-mahali-pa-sunnah-baada-ya-kuswali-faradhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket