Swali: Kuna mwanafunzi mmoja amenambia nisijichoshe na vitabu vya Fiqh na badala yake nishikamane na Ahl-ul-Hadiyth wanapatia kwa wingi na wana uchache wa kujikakama. Je, ni sahihi?
Jibu: Fiqh inachukuliwa kutoka katika Hadiyth. Fiqh ya Ahl-us-Sunnah inachukuliwa kutoka katika Hadiyth. Hakuna anayepuuzia vitabu vya Fiqh isipokuwa mtu ambaye ni mjinga au mtu ambaye anadai Ijtihaad leo ilihali uhakika wa mambo hastahiki kufanya Ijtihaad na wala hana masharti yake. Anachoweza tu ni kufuata kipofu, lakini afanye hivo pamoja na kulenga dalili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 14/03/2017
Swali: Kuna mwanafunzi mmoja amenambia nisijichoshe na vitabu vya Fiqh na badala yake nishikamane na Ahl-ul-Hadiyth wanapatia kwa wingi na wana uchache wa kujikakama. Je, ni sahihi?
Jibu: Fiqh inachukuliwa kutoka katika Hadiyth. Fiqh ya Ahl-us-Sunnah inachukuliwa kutoka katika Hadiyth. Hakuna anayepuuzia vitabu vya Fiqh isipokuwa mtu ambaye ni mjinga au mtu ambaye anadai Ijtihaad leo ilihali uhakika wa mambo hastahiki kufanya Ijtihaad na wala hana masharti yake. Anachoweza tu ni kufuata kipofu, lakini afanye hivo pamoja na kulenga dalili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 14/03/2017
https://firqatunnajia.com/hawa-ndio-wanapuuza-vitabu-vya-fiqh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)