Swali: Ni wepi mawalii wa Allaah?
Jibu: Ni waumini. Na nyinyi – Allaah akitaka – ni katika wao. Tunamuomba Allaah atujaalie sisi na nyinyi katika wao. Kila yule ambaye anamtii Allaah na Mtume Wake na akawa na msimamo juu ya haki ni walii wa Allaah. Tunamuomba Allaah atujaalie sisi na nyinyi katika wao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 40
- Imechapishwa: 13/11/2016
Swali: Ni wepi mawalii wa Allaah?
Jibu: Ni waumini. Na nyinyi – Allaah akitaka – ni katika wao. Tunamuomba Allaah atujaalie sisi na nyinyi katika wao. Kila yule ambaye anamtii Allaah na Mtume Wake na akawa na msimamo juu ya haki ni walii wa Allaah. Tunamuomba Allaah atujaalie sisi na nyinyi katika wao.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 40
Imechapishwa: 13/11/2016
https://firqatunnajia.com/hawa-ndio-mawalii-wa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)