Swali: Je, kufanya haraka wakati wa swalah kunapunguza thawabu?
Jibu: Kufanya haraka kunachukiza. Sunnah ni kutofanya haraka wakati wa kutembea, azifanye karibu hatua zake, azingatie kuwa ametoka kwa ajili ya ´ibaadah na jambo kubwa na kwamba kwa kila hatua moja anaandikiwa thawabu na anafutiwa dhambi. Hivyo anakosa baadhi ya thawabu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25223/هل-العجلة-في-السعي-للصلاة-تنقص-من-اجرها
- Imechapishwa: 19/02/2025
Swali: Je, kufanya haraka wakati wa swalah kunapunguza thawabu?
Jibu: Kufanya haraka kunachukiza. Sunnah ni kutofanya haraka wakati wa kutembea, azifanye karibu hatua zake, azingatie kuwa ametoka kwa ajili ya ´ibaadah na jambo kubwa na kwamba kwa kila hatua moja anaandikiwa thawabu na anafutiwa dhambi. Hivyo anakosa baadhi ya thawabu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25223/هل-العجلة-في-السعي-للصلاة-تنقص-من-اجرها
Imechapishwa: 19/02/2025
https://firqatunnajia.com/haraka-inapunguza-thawabu-za-swalah/