Swali: Ni ipi hukumu ya kusikiliza redio na mfano wake ikiwa kile unachosikiliza au unachotazama ndani yake hakuna kitu cha haramu?
Jibu: Hapana neno kusikiliza kile kinachorushwa hewani kutoka katika redio katika Qur-aan tukufu, Hadiyth zenye kufidisha na taarifa ya khabari muhimu. Vivyo hivyo hapana vibaya kwa yale yanayorekodiwa katika Qur-aan tukufu, Hadiyth yenye kufidisha, nasaha na mengineyo. Nawasihi kusikiliza idhaa ya Qur-aan na barnamiji “Nuur ´alaad-Darb” kutokana na ile faida kubwa inayopatikana humo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (06/490)
- Imechapishwa: 05/03/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kusikiliza redio na mfano wake ikiwa kile unachosikiliza au unachotazama ndani yake hakuna kitu cha haramu?
Jibu: Hapana neno kusikiliza kile kinachorushwa hewani kutoka katika redio katika Qur-aan tukufu, Hadiyth zenye kufidisha na taarifa ya khabari muhimu. Vivyo hivyo hapana vibaya kwa yale yanayorekodiwa katika Qur-aan tukufu, Hadiyth yenye kufidisha, nasaha na mengineyo. Nawasihi kusikiliza idhaa ya Qur-aan na barnamiji “Nuur ´alaad-Darb” kutokana na ile faida kubwa inayopatikana humo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (06/490)
Imechapishwa: 05/03/2021
https://firqatunnajia.com/hapana-vibaya-kusikiliza-redio-kama-hii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)