Swali: Je, inajuzu kuitikia karamu ya ndoa ya Ahl-ul-Bid´ah?
Jibu: Hapana. Mtu hatakiwi kwenda na kula kwenye mialiko ya Ahl-ul-Bid´ah. Wala mtu hatakiwi kuwaalika isipokuwa ikiwa anataka kuwalingania kwenye uongofu, kuwanasihi na kuwaelekeza.
- Muhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.ajurry.com/vb/showthread.php?t=45676
- Imechapishwa: 13/04/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)