Swali: Je, uchaguzi na kupiga kura si ni kujenga urafiki na makafiri na kuwatawala kwao waislamu?
Jibu: Je, uongozi utaanguka na nchi itabaki bila raisi endapo waislamu hawatomchagua yeyote katika nchi hii? Au litatimia jambo la uraisi kwa hali yoyote? Ikiwa waislamu watamchagua mtu ambaye wanaamini kuwa atawanufaisha waislamu, au wakiacha kupiga kura basi kuna uwezekano utawala ukaenda kwa mtu ambaye wanamfikiria vibaya, basi katika hali hiyo italazimika kwao kupiga kura. Ikiwa wana dhana kubwa kuwa mgombea fulani atawapendelea waislamu zaidi kuliko mwengine na kwamba wakiacha kumpigia kura basi hilo litapelekea manyanyaso zaidi kwa waislamu, basi watasaidiwa watu wasiofanya uadilifu juu ya haki za waislamu.
- Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.salafi-dawah.com/uploads/1/5/0/0/15007852/shaykh_al-luhaydaan_-_wouldnt_voting_or_participating_in_elections_be_considered_as_assisting_the_kuffaar_in_having_authority_over_the_muslims.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2022
Swali: Je, uchaguzi na kupiga kura si ni kujenga urafiki na makafiri na kuwatawala kwao waislamu?
Jibu: Je, uongozi utaanguka na nchi itabaki bila raisi endapo waislamu hawatomchagua yeyote katika nchi hii? Au litatimia jambo la uraisi kwa hali yoyote? Ikiwa waislamu watamchagua mtu ambaye wanaamini kuwa atawanufaisha waislamu, au wakiacha kupiga kura basi kuna uwezekano utawala ukaenda kwa mtu ambaye wanamfikiria vibaya, basi katika hali hiyo italazimika kwao kupiga kura. Ikiwa wana dhana kubwa kuwa mgombea fulani atawapendelea waislamu zaidi kuliko mwengine na kwamba wakiacha kumpigia kura basi hilo litapelekea manyanyaso zaidi kwa waislamu, basi watasaidiwa watu wasiofanya uadilifu juu ya haki za waislamu.
Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.salafi-dawah.com/uploads/1/5/0/0/15007852/shaykh_al-luhaydaan_-_wouldnt_voting_or_participating_in_elections_be_considered_as_assisting_the_kuffaar_in_having_authority_over_the_muslims.mp3
Imechapishwa: 21/08/2022
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-italazimika-kupiga-kura/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)