Swali: Baadhi ya waislamu wanaposafiri kwenda India au Magharibi wanatembelea kaburi lililotangaa kama Taj Mahal na wanatemebelea makanisa katika miji ya makafiri na wanasema kwamba wanafanya hivo kwa minajili ya utalii. Je, inafaa kufanya hivo?
Jibu: Hapana, haijuzu midhali hawayakatazi mambo haya na hawabainishi uharibifu wake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
- Imechapishwa: 13/04/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)