Swali: Inajuzu kunyanyua mikono wakati wa kuomba du´aa katika Khutbah ya ijumaa?
Jibu: Khatwiyb akiomba du´aa ya kuomba mvua, basi yeye na walioko pale wanatakiwa kunyanyua mikono yao. Hivyo ndivyo alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah. Hili linahusiana na wakati wa kuomba du´aa katika Khutbah ya ijumaa. Vinginevyo haijuzu kunyanyua mikono katika Khutbah ya ijumaa. Wala haijuzu kwa walioko pale kunyanyua mikono yao. Hii ni Bid´ah. Wanatakiwa kukatazwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
- Imechapishwa: 30/09/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket