Swali: Katika ”Zaad-ul-Mustaqni´” kumependekezwa kumuoa msichana bikira na asiyekuwa na mama. Ni yepi makusudio?
Jibu: Kwa sababu mama hukuharibia msichana wako. Lakini si sahihi. Sio mama wote huwaharibu wasichana zao. Lakini ikiwa mama anatambulika kusababisha matatizo na mfano wake, basi asimuoe msichana wake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
- Imechapishwa: 19/07/2024
Swali: Katika ”Zaad-ul-Mustaqni´” kumependekezwa kumuoa msichana bikira na asiyekuwa na mama. Ni yepi makusudio?
Jibu: Kwa sababu mama hukuharibia msichana wako. Lakini si sahihi. Sio mama wote huwaharibu wasichana zao. Lakini ikiwa mama anatambulika kusababisha matatizo na mfano wake, basi asimuoe msichana wake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
Imechapishwa: 19/07/2024
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-inapendeza-kumuoa-mwanamke-asiyekuwa-na-mama/