Hapa mume anayo haki ya kumzuia mkewe kukutana na jamaa zake

Swali: Je, mume anayo haki ya kumzuia mke wake kwenda kwa ambao ni halali kwake ikiwa anaona kuna madhara katika makutano yao au anakhofia juu yake?

Jibu: Anayo haki ya kumkatalia ikiwa anakhofia jambo hata kama ni wale wanaume jamaa zake wasioweza kumuoa.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23912/هل-يجوز-منع-الزوجة-من-محارمها
  • Imechapishwa: 31/05/2024